• Breaking News

    Lyrics: Roma – Hivi Ama Vile Ft. Stamina [New Lyrics]


    [Chorus/Hook: Roma & Stamina]
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    [Verse 1: Roma & Stamina]
    Stamina: Mimi nampenda uncle Magu
    mwokozi wa makapuku.
    Roma: Ah mimi ukinikata damu yangu
    ni lowasa mtupu,
    So wanangu wa ukawa vidole viwili
    juu,
    Stamina: Hapa kazi tu ikulu
    mtapasikia tu,
    Roma: Hata nifungwe mimi ni Arsenal
    sio Man U,
    Stamina: Hamna lolote ndio maana
    hamchezi UEFA msimu huu,
    Bongo mimi ni Yanga tena vikombe ni
    tele,
    Roma: Ah wapi wanangu wa simba
    piga kelele,
    Ah nampenda snura ana bonge la
    chura,
    Stamina: Mh mm..nampenda shishi
    mwanamke sura,
    Roma: Ah acha ubishi dogo,
    Stamina: Acha ligi,mimi amber lulu
    ndio mkali,
    Roma: Mimi Gigy,
    Stamina: Eti mziki una team haya
    team kiba mko wapi,
    Roma: Team hazijengi hata wasafi
    wakijenga masaki,
    Mimi wema we boya tu unalipi la
    kusema?,
    Stamina: Mimi zari niko zangu madale
    na naishi vyema,
    [Chorus/Hook: Roma & Stamina]
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    [Verse 2: Roma & Stamina]
    Roma: Mimi mziki ukinishinda mdogo
    wangu nitakuwa mkulima,
    Stamina: Mimi nitakuwa mfugaji nifuge
    vyote vya nchi nzima,
    Roma: Lakini kweli nikila ugali si
    nitahitaji na nyama?,
    Stamina: Basi bifu la wakulima na
    wafugaji halina maana,
    Roma: Ila Ronaldo mkali ki-soccer
    hana mpinzani,
    Stamina: Hawezi kumzidi Messi
    wakikutana Dimbani,
    Kwanza Madrid siwapendi
    washanichania mikeka,
    Roma: Acha soccer huliwezi ka-bet
    kwenye mieleka,
    Stamina: Hivi Ney na Madee nani raisi
    wa manzese,
    Roma: Hata udiwani hawafai,kwanza
    mmoja ana kithethe,
    Nisha zunguka nchi nzima kila kona
    ninashabiki,
    Stamina: Acha uwongo hivi ushafanya
    show kibiti,
    Roma: Madereva tunaleseni makonda
    mnatupa loss,
    Stamina: Mbona makonda hatuna
    vyeti ila tunaaminiwa na boss,
    Ila wewe bwege ukimuacha mama
    Ivan utapata dhambi,
    Roma: Walahi! nishaweka kambi
    ninampenda Mange Kimambi,
    [Chorus/Hook: Roma & Stamina]
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    Stamina: Hivi Ama vile,huku ama kule
    Shangwe nyingi ziko wapi roma huku
    ama kule,
    Roma: Zinanichanganya sijui ni huku
    ama kule,
    Maana ninazoskia huku ndio ninazo
    ziskia kule,
    [Outro: Roma & Stamina]
    Roma: Hehehee..Ila mdogo wangu
    wewe unapenda sana Ligi wewe,
    Yani wewe unaweza ukabisha mpaka
    outro wewe,
    Kwa mfano mimi kama mimi yani,
    mimi nakumbia namkubali Mussa
    babas wa babas,
    Stamina: Wai…kimpango wako bwana
    wewe,
    si unajua watu wafupi,afu si unajua
    tabaka la morogoro,
    Mimi namkubali chief Kiumbe wewee,
    Roma: HAHAAA..!

    No comments