• Breaking News

    ROMA_ZIMBABWE (LYRIC)

    [Intro]
    Wengi mlijiuliza walioniteka ni
    maaskari?
    Mkanitafuta vituo vyote Cetral hadi
    sitaki shari,
    Wakasema hawajui nilipo mama
    alienda mpaka monjwari,
    Daaah!,yakaisari mwachie kaisari,
    Machozi yenu yatalipwa mimi nafunga
    na kusali
    [Bridge]
    Imba roma Imbaaa
    Imba roma Imbaaa,
    Imba roma Imbaaa,
    [Verse 1]
    Mungu wa paul ndio mungu wadaudi,
    Na ndio mungo wa John Mnaemuita
    Yohana wa wayahudi,
    Mwanangu alimuuliza mama “Baba
    lini atarudi”?,
    Na mke wangu aliwaliza kuwashukuru
    sinabudi,
    Kwa hamu ya kuwa mimi sio tu rapper,
    Mimi ni baba wa Familia,
    Nawatoto mahitaji nawapa kama
    isemavyo biblia,
    Kipi bora?Nife mseme nilikufa
    kiharakati?,
    Siogopi kufa ila nawaachaje
    wanaobaki?,
    Je! Nani kati yenu mwanangu atampa
    malezi?,
    wapi atapata mahitaji?,wapi atapata
    mapenzi?,
    Mama nae wapi atapata mahitaji na
    malezi?,
    Na report ya upelelezi vipi akiiteka
    mtekaji?,
    Je! Kaburi langu mtalipalilia majani,
    Nimeumwa hamjakuja
    kuniona,mnangoja mje msibani?,
    Nilipokuwepo sikuwa najua hii
    sanne,hii saanane,
    Nilichohitaji nitoke mzima na ndugu
    zangu tuonane,
    Nimechapwa Mijeledi nimevunjwa bila
    huruma,
    Asante mliopaza sauti nimeiona nguvu
    ya umma,
    Sikutatu nimefungwa macho,mikono
    imefungwa nyuma,
    Chorus/Hook
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    [Bridge]
    Imba roma Imbaaa,
    Oo,Eee mama(sema baba wewe)
    Verse 2
    Nasimama nanaunga hoja kwenye
    uchumi wa Viwanda,
    Nanasi linauza msoga,tikiti linaoza
    shamba,
    Walioniteka hawakuja na noah,Ni
    uvumi na visanga,
    ila kutekanateka huu ni uhuni wa
    kishamba,
    Weka Bunduki chini si tubishane kwa
    hoja,
    Maana sote lengo letu kuijenga
    Tanzania moja,
    Mi-sikuona nyota kwa shoulder,Ila
    najua wewe ni soldier,
    (Inshallah)Ulikuja mwenyewe ama
    ulipewa order(hewallah),
    Lyrics by skiizat
    Aminini siku hazigandi,wewe ni yanga
    mimi simba,
    Kwa mpinzani sio dhambi,
    Ipo siku mtawala atakuwa mpinzani,
    Simba akichukua kombe sijui atapona
    nani,
    Na kuna mbunge alisema eti
    nimemtukana mkuu,
    Utahukumiwa na mkono wa
    Mungu,kumshtakia aliye juu,
    Kwanza lini,na kwanini mimi
    nimtukane mjomba,
    Umepewa gari ya wagonjwa,mi Tanga
    wananijalia bomba,
    Mimi mbarikiwa na nikifa nitaketi
    kuume kwa baba,
    na ni mtu wa watu that is
    why,lilisimama bunge la bajeti,
    Kunijadili mtanzania kuwa makini pia
    makinikia nayatungia,
    Mapini Piyaa,
    Nilitabiri utaitwa Raisi kipindi unaitwa
    waziri,
    Japo maisha sio rahisi japo pongezi
    unastahili,
    waliosadiki roma ataonekana kabla ya
    jumapili,
    God bless imetimia injili nilio itabiri,
    Chorus/Hook
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
    Iyelele mama we),
    Outro
    Imba roma(ee ee roma),
    Zimbomboo we simama(ee ee roma),
    sema baba wewe(ee ee roma),
    iyelelel mama wewee(zimbombo we
    simama),
    watakwenda,uko zimbabwee,
    ee ee roma(iyelele mama wewee)


    No comments