• Breaking News

    Serikali yataifisha magari matatu

    KISUTU, DAR: Serikali imetaifisha magari matatu kati ya 7 yaliyokutwa na Rais Magufuli kwenye makontena, alipofanya ziara bandarini.

    - Hatua hiyo imefikiwa baada ya kubainika kuwa magari hayo hayakuwa na nyaraka stahiki, Mahakama imeamuru washtakiwa wawili walipe faini.

    No comments