• Breaking News

    Watu kadhaa wajeruhiwa kwa kudungwa kisu Finland

    Taarifa  za hivi punde zafahamisha kwamba watu kadhaa wajeruhiwa baada ya kudungwa na kisu katika mji wa Turku nchini Finland .

    Polisi nchini humo wamempiga risasi mwanamume aliyewadunga kisu watu maeneo ya duka la Puutori.

    Polisi wameripoti kupitia Twitter kwamba operesheni za kiusalama zimeanzishwa katika mji huo .

     

    No comments